Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Johari akanusha kutaka kufunga ndoa na Ostaz Juma

$
0
0
Msanii wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na meneja wa Mtanashati Entertainment, Ostaz Juma. Akizungumza kwenye kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio, Johari alisema kuwa hajawahi kuwa na uhusiano ya kimapenzi na Ostaz Juma wala Ray. “Ni kweli haya mambo yanakuwa yanatokea na kuzushwa lakini ukweli kwamba sijawahi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>