Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WAASI WA M23 WAKUBALI KUREJEA KATIKA MEZA YA MAZUNGUMZO YA AMANI NA SERIKALI

$
0
0
Kiongozi wa kundi la M23 Bertrand Bisimwa Photo AFP / Isaac Kasamani Kundi la waasi la M23 la nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC linarejea katika mazungumzo ya amani na serikali ya Kinshasa mwishoni mwa juma hili mazungumzo ambayo serikali ya nchi hiyo inaona kuwa ni jambo sahihi katika utatuzi wa mgogoro huo. M23 chini ya kiongozi wake Bertrand Bisimwa walitangaza uamuzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>