Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

UKAWA wamegoma kabisa kuhudhuria mkutano wa bunge maalum la katiba

$
0
0
Umoja wa katiba ya wananchi bungeni -UKAWA- umegoma kabisa kuhudhuria mkutano wa bunge maalum baada ya kutoka katika mkutano uliofanyika Aprili 16 kwa madai ya mkutano huo kugubikwa na matusi, kashfa na vitisho vinavyofanywa na baadhi ya viongozi kwa wananchi.    Akizungumzia masikitiko yake mwenyekiti wa kamati ya bunge maalum, Mhe. Samweli Sita amesema licha ya bunge hilo kumwita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>