Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Gari Dogo laangukiwa na lori lililokuwa limebeba mchanga....Juhudi za JWTZ, kikosi cha zimamoto na uokoaji zafanikiwa kumnasua dereva wake

$
0
0
Picha za ajali iliyotokea asubuhi ya leo huko Makongo jijini Dar es Salaam ambapo lori lililokuwa limebeba mchanga lililiangukia gari dogo. Juhudi za Askari wa Jeshi la Wananchi wakishirikiana na kikosi cha zimamoto na uokoaji zilifanikisha kumnasua kutoka kwenye mchanga dereva wa gari dogo mwendo wa  saa moja u nusu hivi asubuhi baada ya kuwemo ndani ya gari hilo tangu saa 11 afajiri.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>