Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mvua yaua watu 10 jijini Dar, madaraja sita yabomoka.....Wakazi Jangwani wazikimbia nyumba zao

$
0
0
Mvua kubwa ziliyonyesha mfululizo kuanzia juzi maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam zimesababisha vifo vya watu kumi na kuharibu miundombinu ya barabara ikiwamo madaraja sita kubomoka.   Aidha, mradi wa mabasi yaendayo kasi (Dart) umelazimika kusimamisha shughuli zake, baada ya ofisi zake za Jangwani kukumbwa na mafuriko na kusababisha hasara ya zaidi ya Dola za Kimarekani 30,000.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>