Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matayarisho ya matengenezo ya kurejesha mawasiliano ya barabara kati ya Dar na Bagamoyo yanaendelea baada ya mvua kubwa kulibomoa Daraja la Mpiji

$
0
0
  Sehemu ya barabara iliyobomolewa katika Daraja la Mpiji kwenye barabara ya Dar es Salaam - Bagamoyo. Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (katikati) akipokea maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Alhaj Mussa Iyombe (aliyenyoosha mkono). Kulia ni Mbunge Mteule wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete. Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (mbele mwenye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>