Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtuhumiwa Sugu wa Ujangili auawa kwa kupigwa Risasi ya mgongo na Polisi mkoani Simiyu....

$
0
0
Polisi mkoani Simiyu kwa kushirikiana na askari wa Idara ya Wanyamapori katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, wamemuua jangili sugu Majadiga Makabajinga au Mashaka Sai, kwa kumchapa risasi ya mgongo. Sai, ambaye alikuwa akisakwa kwa muda mrefu, anatuhumiwa kuwa kinara wa ujangili na aliuawa wakati akipambana na polisi alipojaribu kuwatoroka baada ya kutiwa mbaroni. Kamanda wa Polisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>