Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari 10 wa Usalama barabarani wafukuzwa kazi....

$
0
0
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limewafukuza kazi askari wake 10 kwa kosa la kwenda kinyume cha kanuni na sheria za jeshi hilo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga, alisema kuwa askari hao walipatikana na hatia baada ya kufunguliwa mashitaka ya kijeshi. “Baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles