Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Balaa la kijana aliyekuwa anaishi ndani ya handaki maeneo ya Chuo kikuu cha Dar....Handaki lake labomolewa, Polisi wamkamata na kumpeleka Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili

$
0
0
CHACHA Makenge (38) aliyeripotiwa awali kuishi ndani ya handaki katika eneo la pori la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani, amepatwa na balaa jipya baada ya makazi yake kuvamiwa na askari, kukamatwa na mwishowe kupelekwa Muhimbili kitengo cha wagonjwa wa akili kwa ajili ya matibabu. Makenge ambaye aliwahi kuishi katika handaki hilo kwa muda wa miaka mitano, alipotoka,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>