Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Sitaki tena kuwa na Mwanaume...Kama kuna mtu anafikiria kuwa na mimi, aandike maumivu"..Mwasiti

$
0
0
Staa  anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas, amesema kwa sasa hataki kusikia habari za mwanaume kabisa. Akiongea  na Risasi Mchanganyiko, Mwasiti alisema: “Sitaki mwanaume, nahitaji kujipanga kimaisha kwanza. Kama kuna mtu anafikiria kuwa na mimi, aandike maumivu. Hakuna hiyo nafasi. “Sina mwanaume na sitaki. Bado

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>