Staa anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji
Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas, amesema kwa sasa hataki kusikia habari za
mwanaume kabisa.
Akiongea na Risasi Mchanganyiko, Mwasiti alisema: “Sitaki mwanaume,
nahitaji kujipanga kimaisha kwanza. Kama kuna mtu anafikiria kuwa na
mimi, aandike maumivu. Hakuna hiyo nafasi.
“Sina mwanaume na sitaki.
Bado
↧