Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu
na Makazi Bw. Ephraimu Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini
Dar es salaam kutoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini unapimwa kwa kipimo
cha mwezi.
( Na. Aron Msigwa/MAELEZO - Dar es salaam)
Ofisi ya Taifa ya
Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Machi umeongezeka ikilinganishwa na
mwezi uliopita
↧