Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ofisi ya Taifa ya Takwimu Yatoa taarifa ya Mfumuko wa Bei nchini....Yadai kuwa mfumuko wa bei umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita

$
0
0
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya Watu na Makazi Bw. Ephraimu Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kutoa taarifa ya mfumuko wa bei nchini unapimwa kwa kipimo cha mwezi. ( Na. Aron Msigwa/MAELEZO - Dar es salaam) Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini  kwa mwezi Machi umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>