Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ridhiwani Kikwete ashinda kwa asilimia 86 ( 86.8 % ) uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Chalinze.....

$
0
0
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ilyosomwa TBC saa moja asubuhi ya Aprili 7, 2014, Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo  la Chalinze, Samuel Sarianga amemtangaza aliyekuwa mgombea wa kiti cha Ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Ridhiwani Jakaya Kikwete kuwa ndiye mshindi. Mgombea huyo amepata jumla ya kura 20,828 (86.8%). Washiriki wengine na kura walizopata ni CHADEMA 2,544 (10.5%) CUF

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>