Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matokeo ya awali Jimbo la Chalinze yanaonesha kuwa Ridhiwani Kikwete ( CCM ) anaongoza kata zote 15 kwa kishindo

$
0
0
Matokeo ya awali kwa baadhi ya vituo yanaonesha kuwa mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza kata  zote 15....   Kazi ya kuhesabu kura katika Jimbo la Chalinze imemalizika  na matokeo  rasimi  yatatangazwa muda wowote kuanzia sasa. Aziza ambaye ni mtoto wa mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM, Ndugu Ridhiwani Kikwete akimsaidia baba yake kuweka kura kwenye sanduku

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles