Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ibara muhimu sura ya kwanza na ya sita zakataliwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba

$
0
0
Baadhi ya ibara muhimu za sura ya kwanza na ya sita za Rasimu ya Katiba zimekataliwa na wajumbe wa kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba baada ya kukosa theluthi mbili kutoka kila upande wa Muungano Tanzania Bara na Zanzibar. Kwa mujibu wa wenyeviti wa kamati hizo imeshindikana kutoa uamuzi kutokana na kanuni kuelekeza idadi ya wajumbe wanaopaswa kufanya maamuzi kufikia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>