Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtambo wa kudhibiti simu uliozinduliwa na Rais Kikwete wakabiliwa na changamoto

$
0
0
Mamlaka  ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema  mtambo uliozinduliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kudhibiti udanganyifu katika mitandao ya simu za kimataifa, unakabiliwa na changamoto ikiwamo kutokuwa na uwezo wa kubaini uhalifu wa simu unaofanywa ndani ya nchi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy, kwa niaba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>