Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

IKULU yafafanua kuhusu madai ya tume ya katiba Kutupiwa virago, kupewa kiinua mgongo cha sh. milioni 200/= kwa kila mjumbe na kunyang'anywa magari

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Gazeti la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia virago”.    Habari hiyo inamkariri aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mheshimiwa Jaji Joseph Warioba akidai kuwa Tume yake ilifukuzwa kazi, kwamba haikupewa muda wa kuandaa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles