Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Mkoani Dodoma yakamata watu watatu waliokuwa wakiandamana na mabango kwa lengo la kulivuruga bunge maalumu la Katiba

$
0
0
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa kufanya mkusanyiko usio halali huku wakiwa wamebeba mabango yanayohamasisha uvunjifu wa amani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema tukio hilo lilitokea  jana katika maeneo mawili tofauti. Aliwataja waliokamatwa katika tukio hilo ni Augustino Pancras (60), 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>