Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Inasikitisha sana: Kijana auawa kwa KUCHOMWA MOTO wilayani Ilemela Mkoani Mwanza baada ya kutuhumiwa kuiba pikipiki na paneli ya Solar

$
0
0
  Mtu mmoja anaesadikiwa kuwa ni jambazi ambaye hakufahamika jina anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 25 ameuwawa kwa kupigwa mawe kisha kuchomwa moto na mwingine kunusurika kuuwawa. Tukio hilo limetokea jana  alfajiri  katika kijiji cha Shibula kata ya Bugongwa wilayani Ilemela Mkoani Mwanza kufuatia tukio la wizi lilotokea usiku wa kuamkia jana katika mtaa  wa  Nyamwilolelwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>