Mtu mmoja anaesadikiwa
kuwa ni jambazi ambaye hakufahamika jina anayekadiliwa kuwa na umri wa
miaka 25 ameuwawa kwa kupigwa mawe kisha kuchomwa moto na mwingine
kunusurika kuuwawa.
Tukio
hilo limetokea jana
alfajiri katika kijiji cha Shibula kata ya Bugongwa wilayani
Ilemela Mkoani Mwanza kufuatia tukio la wizi lilotokea usiku wa kuamkia
jana katika mtaa wa Nyamwilolelwa
↧