Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jini Kabula afunguka......Adai kuwa UKIMWI utawamaliza wasaii wengi wa Bongo Movie kwa kuwa wanapenda maisha ya anasa

$
0
0
  Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kustua ,msanii mkongwe  katika kiwanda cha Bongo movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema kuwa hakika gonjwa hatari la UKIMWI  litawateketeza wasanii wote wa Bongo movie na hakuna atakayebaki kama hawatobadilika kitabia.   Akiongea na gazeti la  Maskani Bongo  Jini  Kabula alisema kuwa  wasanii  wengi  wa  bongo  movie 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles