Katika
hali isiyokuwa ya kawaida na kustua ,msanii mkongwe katika kiwanda cha Bongo
movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema
kuwa hakika gonjwa hatari la UKIMWI litawateketeza wasanii wote wa
Bongo movie na hakuna atakayebaki kama hawatobadilika kitabia.
Akiongea
na gazeti la Maskani Bongo Jini Kabula alisema kuwa wasanii wengi wa bongo movie
↧