Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto wawili wa familia moja wateketea kwa moto.....

$
0
0
Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Tukio  hilo lilijiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini Tabora  baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto huku wakiwa wamelala ndani.   Habari za awali zilieleza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>