Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la katiba: Hofu yatanda upitiaji Rasimu.....Wajumbe wahofia misimamo ya vyama kuhusu serikali mbili au tau

$
0
0
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Bw. Samuel Sitta, jana ameahirisha shughuli za Bunge hilo hadi Aprili 4 mwaka huu, ili kutoa fursa kwa kamati 12 zilizoundwa kujadili Rasimu ya Pili ya Katiba kuanzia sura ya kwanza hadi ya sita.   Alisema sura hizo ndizo zilizobeba mfumo mzima wa Serikali, Bunge, Mahakama, Haki za Binadamu na mambo mengine.   Akiahirisha shughuli za Bunge hilo mjini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>