Hii ndio ‘Dear Leader’ style wanayotakiwa kunyoa wanaume wa Korea Kaskazini
**
Tumekuwa tukisikia sheria mbalimbali zikipitishwa katika nchi
mbalimbali zinazowataka watu wavae au wasivae mavazi ya aina fulani,
lakini huko Korea Kaskazini imepitishwa sheria inayowataka wanaume wote
wa nchi hiyo kunyoa style ya nywele ya kiongozi wao iliyopewa jina la
‘Dear Leader’
Wiki mbili
↧