Joseph Haule aka Prof. Jay baada ya kuwa kimya sasa anakuja na ngoma
yake ya ‘Kipi Sijasikia’ akimshirikisha mkali wa Bongo flava
Diamond Platnumz.
Wimbo wa Prof. Jay umefanyika katika studio ya Bongo Records chini ya producer P.Funk Majani.
Wimbo bado uko jikoni ukimaliziwa kuandaliwa...Vuta Subira kidogo
<!-- adsense -->
↧