Bunge maalumu la katiba limeunda kamati 12 za kujadili na kupitia
rasimu ya katiba kifungu kwa kifungu na kisha kuwasilisha maboresho na
mapendekezo katika rasimu hiyo bungeni kwa ajili ya kutengeneza katiba
inayopendekezwa na kisha katiba hiyo kupigiwa kura ya maoni na wananchi
ili kupata katiba mpya.
Akitangaza kamati hizo 12 mwenyekiti wa bunge
maalum la katiba Samwel Sita
↧