Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge maalumu la katiba limeunda kamati 12 za kujadili na kupitia rasimu ya katiba

$
0
0
Bunge maalumu la katiba limeunda kamati 12 za kujadili na kupitia rasimu ya katiba kifungu kwa kifungu na kisha kuwasilisha maboresho na mapendekezo katika rasimu hiyo bungeni kwa ajili ya kutengeneza katiba inayopendekezwa na kisha katiba hiyo kupigiwa kura ya maoni na wananchi ili kupata katiba mpya.    Akitangaza kamati hizo 12 mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samwel Sita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>