Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zaidi ya wafanyakazi 200 wa kampuni ya Shoprite maeneo ya Kamata - DSM wamegoma

$
0
0
Zaidi ya wafanyakazi mia mbili wa kampuni ya maduka makubwa ya Shoprite maeneo ya Kamata jijini Dar es salaam wamegoma kufanya kazi kushinikiza uongozi wa kampuni hiyo kuwalipa malimbikizi yao baada ya mwajiri wao kuuza kampuni hiyo kwa mwekezaji mwingine na kusitisha mikataba yao bila kuwalipa malimbikizi yao.   Mwandishi wetu amefika eneo la duka hilo lililopo maeneo ya kamata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>