Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ndenge ya Malaysia iliyopotea ilianguka baharini.....Hakuna mtu aliyenusurika

$
0
0
   Waziri Mkuu wa Malaysia Najib Razak akitangaza leo juu ya utafiti wa rada kuonyesha kuwa ndege iliyopotea imeangukia katika bahari ya Hindi. Tangazo hilo limetolewa wakati ndege ya majini ya Australia ikiwa njiani kuelekea kunakoonekana vitu hivyo vilivyoonwa na ndege za kijeshi wakati wa msako wake. Wanajeshi wa jeshi la Australia wakiwa ndani ya ndege katika kituo cha Kijeshi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>