Waziri
Mkuu wa Malaysia Najib Razak akitangaza leo juu ya utafiti wa rada
kuonyesha kuwa ndege iliyopotea imeangukia katika bahari ya Hindi.
Tangazo
hilo limetolewa wakati ndege ya majini ya Australia ikiwa njiani
kuelekea kunakoonekana vitu hivyo vilivyoonwa na ndege za kijeshi wakati
wa msako wake. Wanajeshi wa jeshi la Australia wakiwa ndani ya ndege katika kituo cha Kijeshi
↧