Said Nkumba
**
KITENDO cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kukosoa hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutoa maoni yake kuhusu rasimu ya Katiba, kimekosolewa.
Pia, imesisitizwa kuwa hakukosea kufanya hivyo na kwamba hotuba yake, haikuvuruga wala kuingilia mchakato ulio bungeni.
Kundi la Wajumbe wa Bunge Maalumu, linalojipambanua kama Tanzania Kwanza, limesema Rais alichofanya
↧