Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Huddah Monroe akana kutoka kimapenzi na Colonel Mustafa, adai alitafuta ‘kiki’ kupitia jina lake

$
0
0
Mwezi uliopita aliyekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye BBA, Huddah Monroe na Colonel Mustafa walitangaza uhusiano wao wa kimapenzi kwenye kipindi cha ‘Kiti Moto’cha KTN. Hata hivyo, Huddah ameibuka na kusema interview hiyo ilikuwa imepangwa. Kwenye interview hiyo, wawili hao walidai kuwa wanapendena na wanaweza kufunga ndoa.  Hata hivyo kwenye mahojiano na mtandao wa Ghafla, Huddah

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>