Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIKI)
wamefutiwa mashitaka na mahakama ya wilaya ya Mwanakwerekwe dhidi ya
kesi ya kufanya mkusanyiko bila ya kibali iliofunguliwa Mei mwaka jana
visiwani Zanzibar.
Uamuzi huo umetolewa na Hakim Ame Msaraka Pinja baada ya kukamilika
kusikilizwa kesi hiyo na washitakiwa kuonekana hawana hatia katika
mashitaka yaliokuwa
↧