Mwenyekiti
wa Bunge maalum, Mhe.Samwel Sitt akiahirisha bunge hadi Jumatatu
mara baada ya zoezi la kuwaapisha wabunge. Wajumbe ambao hawajaapishwa
ni wale waliopo nje ya mkoa wa Dodoma kwa udhuru, na wataapishwa wiki
ijayo.
Wajumbe
wa Bunge maalum Mhe,Anne Kilango Malecela (shoto) akijadiliana jambo na
Mhe.Beatrice Shelukindo wakati wa zoezi la kuapisha wabunge.
Waheshimiwa,
↧