Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.
Hii
inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe
Hassan alichaguliwa kwa kura 390 sawa na asilimia 74.6 na kumshinda
mpinzani wake Amina Abdalla Amour. Kura 7 ziliharibika - kama jana.
Katibu
wa Bunge hilo Maalum
ataapishwa na Rais
↧