Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mhe.Samia Suluhu Hassan achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge maalumu la Katiba baada ya kumshinda mpinzani wake Amina Abdalla Amour

$
0
0
Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.     Hii inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe Hassan alichaguliwa kwa kura 390 sawa na asilimia 74.6 na kumshinda mpinzani wake Amina Abdalla Amour. Kura 7 ziliharibika - kama jana.     Katibu wa Bunge hilo Maalum ataapishwa na Rais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>