Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yahoji uwepo wa Helikopta ya CHADEMA siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimehoji matumizi ya helikopta ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga, Jumapili ijayo.   Mratibu wa Kampeni za CCM katika jimbo hilo, Miraji Mtaturo, aliitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kutoa msimamo kuhusu tangazo la Chadema kuwa watatumia helikopta siku ya kupiga kura.   “Mwenyekiti, wenzetu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>