Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TFF Yaiomba Radhi Serikali kwa uharibifu wa vitu katika Uwanja wa taifa uliosababishwa na vurugu za watazamaji....Yasema itailipa Serikali hasara yote iliyopatikana

$
0
0
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tunalaani vikali fujo na uhabirifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini.    Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles