Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
kimempitisha Mathayo Torongey kuwa mgombea rasmi wa ubunge kwa tiketi ya
chama hicho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze.
Akimtambulisha mgombea huyo kwa Waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri wa
Chadema, John Mrema alisema Torongey alipitishwa juzi na Sekretariati ya
chama
↧