Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uzushi mitandao ya kijamiii nchini wamkera Edward Lowassa.....Ni baada ya watu kutengeneza noti ya sh. 500 yenye picha ya Lowassa

$
0
0
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amekerwa na tabia ya baadhi ya watu wanaosambaza uzushi katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake.    Lowassa alisema kuna watu wanaoendeleza kusambasa picha ya noti ya Sh500 yenye picha yake huku wakiongeza maneno mabaya juu yake.   Katika taarifa iliyotolewa na ofisi yake, Lowassa alisema, “Kitendo hicho siyo utani, bali ni dhihaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>