Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Afrika kusini yawatimua maofisa watatu wa ubalozi wa Rwanda nchini humo......Rwanda nayo yajibu mapigo kwa kuwafukuza maofisa 6 wa ubalozi wa Afrika Kusini

$
0
0
SERIKALI ya Rwanda, imefukuza maofisa sita wa ubalozi wa Afrika Kusini muda mfupi baada ya nchi hiyo kuwataka maofisa  watatu ubalozi wa Rwada kuondoka Afrika Kusini.   Aidha, kutokana na hatua hizo, Afrika Kusini imeanza kuangalia uwezekano wa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Rwanda, kutokana na mvutano wa siku za hivi karibuni kati ya nchi hizo mbili, uliosababisha kila upande

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles