Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ridhiwani Kikwete afunguka....Adai habebwi na baba yake, Rais Jakaya Kikwete, katika harakati zake za kisiasa, awataka wana-CCM wamuunge mkono

$
0
0
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilayani Bagamoyo, anayetarajiwa kuwania ubunge Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amesema habebwi na baba yake, Rais Jakaya Kikwete, katika harakati zake za kisiasa. Ridhiwani aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari juzi jioni baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni katika jimbo hilo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>