Suala la
Jinsia katika uongozi wa Bunge Maalum la Katiba limeibua Mjadala mzito katika nafasi
ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo.
Mjumbe wa
Bunge hilo Lediana Mung’ong’o ndiye aliyekuwa wa kwanza kuibua suala hilo
wakati wa mjadala kuhusu marekebisho ya kanuni za bunge kipengele 8(i)
kinachozungumzia utaratibu wa kumchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti.
↧