Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mfungwa amjeruhi na kumbaka mwanafunzi wa shule ya msingi.....

$
0
0
Mfungwa aliyekuwa akitumikia kifungo cha miezi sita katika Gereza la Butundwe wilayani Geita amembaka mwanafunzi wa Shule ya Msingi Luhuha iliyoko Tarafa ya Butundwe na kumuumiza sehemu zake za siri, shingoni na kwenye jicho la kulia -- anaripoti Marco Kanani  wa  gazeti la UHURU, Geita. Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 15 (jina linahifadhiwa) alitendewa unyama huo na mfungwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>