Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Omar Kinana, kupitia kwa wanasheria
wa LAW OFFICES OF ERIC S. NG'MARYO wa Moshi amemuandikia Mbunge wa
Iringa Ndugu Peter Msigwa agizo la kumtaka amuombe radhi kwa matamshi
ambayo kinana anadai ni ya uongo kwamba,
HII NI SEHEMU YA BARUA HIYO:
"Nakuandikia kwa maagizo niliyopewa na mteja wangu, Ndugu Abdulrahman
Kinana, kufuatia matamshi yako ya
↧