TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA
KANISA LA MT. JOSEPH – OLASITI JIJINI ARUSHA LILILOTOKEA TAREHE
05/05/2013
Ndugu wanahabari, mtakumbuka kwamba mara
ya mwisho nilipokutana nanyi niliwaahidi kwamba nitaendelea kuwapa mara
kwa mara taarifa juu ta maendeleo ya upelelezi wa tukio la mlipuko wa
bomu lililotokea katika
↧