Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yamteua Samuel Sitta kugombea uenyekiti wa bunge la katiba.....

$
0
0
Kamati ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kwa kauli moja kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, linaripoti gazeti la HabariLeo. Pia kamati hiyo imempitisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo. Taarifa kutoka ndani ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles