Ray C ni Miongoni mwa mastar wa Bongo ambao waliingia kwenye matumizi
ya dawa za kulevya ingawa baadae alikuja kuacha baada ya kuanza kutumia
dozi rasmi ya kuacha matumizi ya dawa hizo.
Habari njema kutoka kwake kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa
taarifa kuhusu kufungua asasi ya kuwaelimisha vijana na jamii kuhusu
madhara ya utumiaji wa dawa hizo za kulevya.
Huu ni
↧