Eneo ambalo limeharibika kwa kuchimbika
na kitu cha mlipuko katika eneo la mkunazini, na kuleta mtafaruku katika majira ya mchana..Katika mlipuko huo hakuna
mtu aliyepata majeraha na uharibifu wa majengo katika eneo hilo.
Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe Abdi Mahmoud Mzee akizungumza na
Kiongozi wa Kanisa la Mkunazini Ndg. Nuhu Salanya, na Maofsa wa JWTZ ,
katika eneo la
↧