Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi wanne wauawa na jeshi la polisi jijini Arusha wakati wakijiandaa kufanya tukio la uhalifu katika kituo cha kuuzia mafuta

$
0
0
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha Watu wanne (wanaume)  ambao bado hawajafahamika  wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 hadi 35  ambao wanasadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa baada ya kupigwa risasi na askari Polisi. Tukio hilo lilitokea  tarehe 21.02.2014 muda wa saa 1:00 jioni katika bar moja iitwayo Pama iliyopo maeneo ya Makao Mapya jijini hapa.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>