Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanataaluma wayakosoa matokeo ya kidato cha nne 2013....Wadai kuwa licha ya kiwango cha ufaulu kuongezeka, ubora wa Elimu haujazingatiwa

$
0
0
Siku moja baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kutangaza matokeo ya kidato cha nne na kuonyesha ufaulu kuongezeka kwa asilimia 15, wadau wa elimu wamepinga matokeo hayo kwa madai kuwa ubora wa elimu haukuangaliwa.    Hatua hiyo inatokana na mabadiliko ya viwango vipya vya alama za ufaulu yaliyofanyika Oktoba mwaka jana, baada ya Serikali kuweka alama za kufaulu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>