Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Jumbe Mangu akisisitiza jambo
kwenye mkutano Mkuu wa Maofisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi
unaofanyika katika Chuo cha Taluma ya Polisi Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Mkutano huo umebebwa na kauli mbiu isemayo “Zingatia Weledi katika Kutoa
Huduma Bora Kwa Jamii”.
Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Paul Chagonja
↧