Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Magazeti ya ufaransa yadai Obama ana uhusiano wa kimapenzi na Beyonce, waandishi wa Marekani wakanusha

$
0
0
Kuna mgongano wa habari kati ya baadhi ya vyombo vya habari vya Ufaransa na vile vya Marekani kuhusu uhusiano uliopo kati ya Beyonce Knowles na rais wa Marekani, Barack Obama.   Gazeti la Ufaransa la Le Figaro liliripoti kuwa kuna uhusiano wa siri wa kimapenzi kati ya rais wa Marekani, Barack Obama na mwimbaji ambaye ni rafiki wa karibu wa familia ya Obama, Beyonce Knowles.   Habari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles