Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vigogo sita CCM ambao wanatajwa kuwania Urais 2015 waitwa Kamati ya Maadili....Yumo Lowassa, Wassira, Sumaye na Makamba

$
0
0
Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa tuhuma za kukiuka maadili.    Habari ambazo zililifikia gazeti la Mwananchi  jana zinawataja vigogo hao kuwa ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>