Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida afikishwa Mahakamani Kisutu kwa kosa la kutengeneza Dawa bandia za kurefusha maisha kwa waathirika wa UKIMWI ( ARV feki)

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam pia ni Mkurugenzi Mkuu Kiwanda cha Kutengeza Dawa (TPI Ltd) Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka matano ya usambazaji wa Dawa bandia za kurefusha maisha kwa waathirika wa UKIMWI na kuisababishia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) hasara ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>